Leo ndio siku ambayo msanii GOSBY
aliwaahidi mashabiki wake kuwa atautoa wimbo wake mpya unaoitwa NAOGOPA,
sasa muda mfupi katika account yake ya Facebook alituma status hii
nainukuu hapa chini
“Napenda niwaombe msamaha
wana, kwa kuwa sitoweza kutoa nyimbo yangu mpya {Naogopa} tena na leo
kwa sababu kuna files tumekuja kugundua zimepotea, kwa hiyo kuna sauti
nyingine hazipo sawa. Ninauwezo wa kutoa hii DEMO niliyonayo lakini
sidhani kama itakua poa kwa sababu quality na baadhi ya sauti haziko
sawa. Bado tunajitahidi kuzipata hizi files ili mwisho wa siku mpate
kitu kizuri. God bless yall.”
About the Author
0 comments: